+255 659 215 984
 info@limaplatform.co.tz

Wataalamu Wetu

Agness Kinyaiya
Bsc. in Agronomy 

Yeye ni mtaalam wa Udongo na Mimea.Ni mshauri mbobezi katika sekta ya Kilimo kwa zaidi ya miaka 7

David Raphael
Bsc. in Wildlife Science 

Ana uzoefu wa miradi ya kilimo kwa zaidi ya miaka 6. NI Mshauri wa Kilimo cha bustani na Ufugaji Kuku .

Ninae Mwalongo
Bsc. in Acquatic Sciences 

Mtaalamu wa ufugaji wa Kisasi wa Samaki. Ana uzoefu wa miaka 8 kuwasaidia vijana katika kilimo cha Samaki